Site icon The Black Board Kenya

MAPENDEKEZO YA KNUT YATIKISA TSC

Katibu mkuu wa KNUT Bwana Wilson Sossion kupitia chama hicho cha walimu,alitoa mapendekezo katika sekta ya elimu kabla shule kufunguliwa tarehe Mosi September.KNUT ilitoa hoja hizo kwa tume ya kuajiri walimu.

Baadhi ya mapendekezo makuu yaliyoangaziwa ni yafuatayo:

Walimu ya shule za msingi hukadiriwa kufunza wanafunzi 50 kwa darasa ilhali wale wa sekondari ni 27.KNUT ilipendekeza TSC waajiri walimu Zaidi au wabuni mpangilio mpya ili kuleta ufanisi shuleni.

Kufunguliwa kwa shule kukiwa bado ni kitendawili,Idara na Tume mbali mbali nchini bado zina wasiwasi juu ya kufunguliwa kwa shule Tarehe mosi September 2020.Ni Matumaini ya waKenya kuwa tume ya kuajiri walimu wakishirikiana na ile ya afya watayafanyia kazi mapendekezo haya.

Share the story
Exit mobile version